Headlines
Published On:Alhamisi, 11 Septemba 2014
Posted by Hisia

CAMEROOON YAIGONGA IVORY COAST 4-1

 Cameroon imeichakaza Ivory Coast kwa mabao 4-1 katika mechi ya kuwania kucheza Kombe la Maita Afrika.
Baadhi ya wachezaji nyota wa Ivory Coast kama nahodha Yaya Toure, kiungo wa Newcastle, Cheikh Tiote na mshambuliaji wa Swansea, Wilfried Bony walikuwa kwenye kikosi hicho kilichotandikwa.

Bahati nyingine mabya kwa Ivory Coast, beki wake Serge Aurie anayekipiga PSG alilazimika kukimbizwa hospitali baada ya kugongana na mshambuliaji wa Cameroon.
Yaya amesema wanalazimika kushinda mechi zote zilizobaki kuinua upya matumaini ya kucheza michuano hiyo ya Afrika.

About the Author

Posted by Hisia on 9/11/2014 11:58:00 AM. Filed under . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0. Feel free to leave a response

By Hisia on 9/11/2014 11:58:00 AM. Filed under . Follow any responses to the RSS 2.0. Leave a response

0 comments for "CAMEROOON YAIGONGA IVORY COAST 4-1 "

Leave a reply

    Blog Archive